Mkasa mwingine wa ajali ya meli Atlantiki wadhihirisha hali ya kukata tamaa kwa waathiriwa: UNHCR/I... Attribution+  — Habari za mkasa mwingine wa ajali ya meli katika ufuo wa Mauritania ni dalili tosha ya watu waliokata tamaa wanaoendelea kukabiliwa na hali hiyo wanapojaribu kukimbia mapigano, limesema leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR. ... Habari za UN 9 hr
Kwa Undani Public Domain  — Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari. ... Sauti ya Amerika 9 hr
Walibya 95 wakamatwa katika shamba linaloshukiwa kuwa kambi ya jeshi Afrika Kusini Public Domain  — Mamlaka Afrika Kusini wamewakamata Walibya 95 siku ya Ijumaa katika shamba ambalo linaonekana kubadilishwa kuwa kambi ya mafunzo ya jeshi, polisi wamesema. ... Sauti ya Amerika 9 hr
Live Talk kuhusu ufunguzi rasmi wa michezo ya Olimpiki, ya 2024, Paris, Ufaransa. Public Domain  — Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo. ... Sauti ya Amerika 10 hr
Duniani Leo Public Domain  — Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari ... Sauti ya Amerika 11 hr
OHCHR imesikitishwa na uamuzi wa mahakama Ghana dhidi ya LGBTQ Attribution+  — Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu (OHCHR) leo imeelezea makubwa kuhusu uamuzi wa Mahakama Kuu ya Ghana kuunga mkono vifungu vya Sheria vinavyoharamisha uhusiano baina ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. ... Habari za UN 12 hr
Mawaziri wa afya wa Kikanda wakutana kusaidia kukomesha mlipuko wa polio Gaza: WHO/UNICEF Attribution+  — Mawaziri wa afya kutoka eneo la Mashariki ya Mediterania wameungana kushughulikia dharura ya polio katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwenye Ukanda wa Gaza. ... Habari za UN 12 hr
Maoni ya vijana baada ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani kuzungumza na Rais William Ruto kuhusu h... Public Domain  — VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. ... Sauti ya Amerika 13 hr
Barack Obama atangaza kumuunga mkono Kamala Harris katika uteuzi wa chama cha Democratic Attribution+  —  Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama ametangaza leo Ijumaa Julai 26 kuunga mkono kugombea kwa Makamu wa rais Kamala Harris katika kinyang'anyiro cha kuwania Ikulu ya White House kwa kambi ya Democratic. ... Radio France Internationale 13 hr
Afrika Kusini: Walibya 95 wakamatwa katika kambi ya kijeshi inayoshukiwa Attribution+  —  Polisi wa Afrika Kusini imetangaza siku ya Ijumaa Julai 26 kuwa imewakamata Walibya 95 baada ya kuvamia shamba ambalo linaonekana kutumika kama kambi ya kijeshi. ... Radio France Internationale 13 hr
Israel yamtuhumu mtaalamu wa Umoja wa Mataifa aliyemlinganisha Hitler na Netanyahu Attribution+  —  Israel imemshutumu mtaalamu huru wa Umoja wa Mataifa kwa "chuki dhidi ya Wayahudi" siku ya Ijumaa Julai 26 kufuatia ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa X kutoka kwa afisa wa zamani wa Umoja wa Mataifa ukimlinganisha Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Adolf Hitler. ... Radio France Internationale 13 hr
Ufaransa: SNCF yalaani vitendo vya 'hujuma' kufuatia 'shambulio kubwa' kwenye nji zake za reli Attribution+  —  Usiku wa Alhamisi kuamkia Ijumaa, shirika la reli la Ufaransa SNCF limekumbwa na "shambulio kubwa la kiwango cha ili kuhujumu" njia zake za reli za treni za mwendo kasi (TGV), shirika hilo limeliambia shirika la habari la AFP. Safari za treni za mwendo kasi (TGV) kwenye njia za Atlantiki, Kaskazini na Mashariki zimesitishwa au hata kukatizwa. Ofisi ya mwendesha mashtaka wa Paris imeombwa kufanya uchunguzi. ... Radio France Internationale 13 hr
Pongezi IOC kwa kuendelea kujumuisha wanariadha wakimbizi kwenye Olimpiki- Guterres Attribution+  — Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ambaye yuko Paris Ufaransa kuhudhuria ufunguzi wa michezo ya Olimpiki ya majira ya joto mwaka 2024 amezungumza katika mkutano na waandishi wa habari akiwa pamoja na Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki Thomas Bach na kuipongeza kamati hiyo kwa kuendelea kuwajumuisha wakimbizi wanamichezo.  ... Habari za UN 13 hr
WHO Afrika yafanikiwa kuboresha afya ya umma barani Afrika Attribution+  — Jitihada za pamoja za kukabiliana na changamoto za afya ya umma zinazidi kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma za afya. Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WHO kanda ya Afrika kwa kushirikiana na nchi wanachama na washirika wake linaendelea kutimiza ajenda yake ya mabadiliko ili kuimarisha mifumo ya afya na kuongeza misaada kwa nchi katika ukanda wa Afrika. ... Habari za UN 15 hr
Haiti: Makundi mawili yenye silaha yatia saini makubaliano ya kumaliza mvutano Attribution+  —  Viongozi wa makundi mawili yenye silaha nchini Haiti wameripotiwa kutia saini makubaliano ya kumaliza mzozo. ... Radio France Internationale 16 hr
Brazil: Brazil yarekodi vifo viwili vilivyotokana na Oropouche Attribution+  —  Homa ya Oropouche imesababisha vifo vya watu wawili nchini Brazili, vifo vya kwanza kuwahi kurekodiwa duniani kutokana na ugonjwa huu, klingana na Wizara ya Afya ya Brazili. ... Radio France Internationale 20 hr
Marekani: Trump akataa mdahalo wowote na Kamala Harris kabla ya kuteuliwa rasmi na Democrats Attribution+  —  Donald Trump anaona kuwa "haifai" kujadiliana na Kamala Harris hadi atakapoteuliwa rasmi na Chama cha Democratic kama mgombea wake katika uchaguzi wa urais wa Marekani mnamo mwezi Novemba, timu ya kampeni ya chama cha Republican imesema hivi punde siku ya Alhamisi Julai 25, 2024.  ... Radio France Internationale 20 hr
DRC : Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya Corneille Nangaa kiongozi wa (AFC) Attribution+  —  Mahakama ya Kijeshi ya Kinshasa/Gombe siku ya Alhamis iliendelea na uchunguzi wa kesi inayomhusisha Corneille Nangaa, aliyekuwa mwenyekiti wa Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi (CENI) na kiongozi wa vuguvugu la kisiasa na kijeshi la Alliance Fleuve Congo (AFC), tawi la kisiasa la kundi la uasi wa M23, pamoja na washtakiwa wengine 24 wanaotuhumiwa kwa uhalifu wa kivita, kushiriki katika harakati za uasi na uhaini. ... Radio France Internationale 20 hr
Wimbi jipya la joto nchini Morocco laua watu 21 ndani ya saa 24 Attribution+  —  Watu 21 wamefariki katika muda wa saa 24 katika mji wa Beni Mellal, katikati mwa Morocco, kutokana na wimbi jipya la joto linaloikumba nchi hiyo, katika kipindi cha mwaka wake wa sita mfululizo wa ukame, Wizara ya Afya imesema hivi punde siku ya Alhamisi. ... Radio France Internationale 20 hr
Marekani yatangaza kukamatwa kwa 'El Mayo' na Guzman, viongozi wawili wa kundi la Sinaloa Attribution+  —  "El Mayo" na Joaquin Guzman Lopez, viongozi wawili wa genge lenye nguvu la Sinaloa la Mexico wanazuiliwa tangu siku ya Alhamisi huko Texas, Wizara ya Sheria ya Marekani imetangaza, ikizungumzia "mmoja wa mitandao ya biashara ya dawa za kulevya yenye vurugu zaidi na yenye nguvu duniani. ... Radio France Internationale 20 hr
Sikuwahi kuota kushiriki Olimpiki – Perina, mkimbizi kutoka Sudan Kusini Attribution+  — Mmoja wa wanariadha 37 wanaounda timu ya wakimbizi kwenye michezo ya Olimpiki ya majira ya joto inayoanza leo huko Paris Ufaransa, Perina Nakang, amesema akishinda mbio za mita 800 kitu cha kwanza ni kumpigia simu mama yake na kumweleza kuwa mama nimeweza. ... Habari za UN 21 hr
Marekani: Kamala Harris aahidi "kutokaa kimya" kuhusu Gaza baada ya mazungumzo na Netanyahu Attribution+  —  Makamu wa rais wa Marekani na mgombea urais wa chama cha Democratic Kamala Harris ametoa ishara hivi punde siku ya Alhamisi hii, Julai 25, 2024, ya uwezekano wa mabadiliko makubwa katika sera ya Marekani kuhusu Gaza, akiahidi kutosalia "kimya" mbele ya mateso ya raia na kusisitiza juu ya haja ya kuhitimisha makubaliano ya amani bila kuchelewa. ... Radio France Internationale 22 hr
Idadi kubwa ya wanariadha wanawake kutoka Afrika washiriki michezo ya Olimpiki Public Domain  — Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo. ... Sauti ya Amerika 1 d
Iran yanyonga mfungwa wa saba kwa makosa ya mauaji Public Domain  — Vyanzo vya haki za binadamu vinasema serekali ya Iran imemnyonga Kamran Sheikheh, mfungwa wa Kikurdi na Kisunni na mshtakiwa wa mwisho kati ya saba aliyehukumiwa kifo kwa mauaji ya 2008 ya mhubiri wa Kiislamu. ... Sauti ya Amerika 1 d
Dhana ya mabadiliko ya kisiasa Marekani kuwa ni udhaifu yapingwa Public Domain  — Wanadiplomasia wa Marekani na maafisa wa kijeshi wamepinga kwamba wasiwasi wa mabadiliko ya hivi karibuni na ghafla ya mazingira ya kisiasa ya Marekani kuwa ni ishara ya udhaifu, wakiwaonya wapinzani wa Marekani Alhamisi kutojaribu kutafuta kunufaika kwa hali yoyote ile. ... Sauti ya Amerika 1 d
Jasusi wa Korea Kaskazini afunguliwa mashitaka Marekani Public Domain  — Waendesha mashtaka wa serekali kuu  wamemfungulia mashtaka afisa wa ujasusi wa kijeshi wa Korea Kaskazini kwa kula njama ya kupandikiza programu ya masuala ya kifedha kwenye mitandao ya watoa huduma za afya wa Marekani pamoja na NASA. ... Sauti ya Amerika 1 d
Israel yaelezea upatikanaji wa maiti za mateka Public Domain  — Maafisa wa Israel, Alhamisi wametoa maelezo ya jinsi walivyopata miili ya mateka watano waliouwawa wakati wa shambulizi la Oktoba la Hamas dhidi ya Israel, huku jeshi la Israel likiendelea na mashambulizi yake huko Gaza. ... Sauti ya Amerika 1 d
TAZAMA/SIKILIZA: “Kwenda zaidi ya Maandamano,” mazungumzo na Tanya Lokot CC BY  — Ulikosa matangazo mubashara ya Juni 17 kuhusu "Mazungumzo ya Global Voices" yaliyomshirikisha msomi wa masuala ya habari Tanya Lokot kuhusu kitabu chake cha "Beyond the Protest Square"? Tazama hapa video na sauti ya marudio ya matangazo hayo. ... Global Voices 1 d
Mwanamke wa tano auawa nchini Azerbaijan katika kipindi cha siku 10 CC BY  — Mwanawake aliyenyongwa hadi kufa nchini Azerbaijan ni wa tano kuuawa kwa sababu ya mgogoro binafsi na mwuuaji ndani ya siku 10. ... Global Voices 1 d
Kundi La Wadukuaji Wasiojulikana Laweka Wazi Takwimu za Siri za Serikali Kuhusu Maambukizi ya COVID-... CC BY  — Udukuaji huo ulionesha ongezeko la visa 6,245 vya maambukizi ya COVID-19 ndani ya Nicaragua ambapo awali havikuripotiwa kwa umma. ... Global Voices 1 d
Jinsi Mauaji ya mwanamuziki Hachalu Hundessa yalivyochochea uvunjifu wa amani nchini Ethiopia: Sehem... CC BY  — Saa moja baada ya mauaji ya Hachalu Hundessa, wananchi wa mitandaoni waonesha picha, nadharia, lugha za chuki na kampeni zaa uongo — Facebook, Twitter na YouTube. ... Global Voices 1 d
Nani Jansen Reventlow na Rasha Abdulla waungia kwenye bodi ya Global Voices CC BY  — Tunafurahi kutangaza kuongezeka kwa wanachama wawili makini waliojiunga na bodi yetu ya wakurugenzi ... Global Voices 1 d
Nanjala Nyabola ajiunga na Global Voices kuwa Mkurugenzi wa Advox CC BY  — Kama mkurugenzi wa mradi wa utetezi (Advox), Nanjala ataongoza uhariri wa uandishi wa habari za Global Voices, utafiti, uanaharakati na utetezi wa uhuru wa kujieleza na haki za kidijitali na teknolojia. ... Global Voices 1 d
‘Mnao uwezo mkubwa na kuzidi’ CC BY  — "Siwezi kunyamazia mfumo wa elimu unaozidisha matarajio yanayoadhibu na kufedhehesha watoto wa taifa hili." ... Global Voices 1 d
Watu 257 wamekufa kutokana na maporomo ya udongo Ethiopia  na idadi iatarajiwa kuongezeka: OCHA Attribution+  — Idadi ya watu waliokufa baada ya matukio matatu ya maporomoko ya udongo kusini mwa taifa hilo yaliyochochewa na mvua kubwa imeongezeka na kufikia 257 jana Jumatano huku idadi ikitarajiwa kufikia 500, na kwamba watu zaidi ya 15,000 wanatakiwa kuhamishwa. ... Habari za UN 1 d
Bangladesh: Kamishna Türk alaani msako dhidi ya waandamanaji ataka sheria zizingatiwe  Attribution+  — Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu Volker Türk  hii leo ameitaka serikali ya Bangladesh haraka iweke wazi na kwa kina maelezo kuhusu msako wa wiki iliyopita dhidi ya waandamanaji wakati huu ambapo kuna taarifa za kutishi kuhusu ghasia na wakati huo huo ihakikishe vyombo vya usalama vinazingatia sheria na maadili ya kimataifa ya haki za binadamu. ... Habari za UN 1 d
Kwa Undani Public Domain  — Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari. ... Sauti ya Amerika 1 d
Raia waelimishwe ili waondokane na ajali za kuzama majini - Medard Wilfred Attribution+  — Leo ni siku ya kimataifa ya kuzuia watu kuzama kwenye maji na siku hii imepatiwa kipaumbele na Umoja wa Mataifa kwa kutambua kwamba kila mwaka, takribani watu 236,000 hufa maji, na kufanya kuzama majini kuwa tatizo kubwa la afya ya umma duniani kote.   ... Habari za UN 1 d
Joto linazidi kupanda duniani ni changamoto ambayo lazima tukabiliane nayo sasa: UN Attribution+  — Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres leo ametoa wito wa dharura wa kuchukua hatua ili kulinda vyema mabilioni ya watu duniani kote walioathiriwa na athari za joto kali, huku ongezeko la joto duniani likiendelea kupanda bila dalili ya kupungua. ... Habari za UN 1 d
Ruto amteua Douglas Kanja kuwa Insepkta mpya wa polisi Public Domain  — Rais wa Kenya William Ruto, Alhamisi amemteua Douglas Kanja, kuwa Inspekta Jenerali wa polisi, ofisi yake imesema, ili  kujaza nafasi iliyoachwa wazi na mkuu  wa zamani Japhet Koome, aliyejiuzulu kufuatia shutuma kwa namna alivyoshughulikia maandamano dhidi ya serikali. ... Sauti ya Amerika 1 d
Muungano wa vyama vya upinzani Kenya unayumba baada ya rais Ruto kuteua mawaziri kutoka muungano huo Public Domain  — Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo. ... Sauti ya Amerika 1 d
Mzozo nchini Sudan: Je IOM imesaidia vipi mpaka sasa? Attribution+  — Ikiwa ni miezi kumi na nne ya mzozo, watu wanaokimbia makazi yao nchini Sudan wanaendelea kuongezeka hadi kiwango ambacho hakijawahi kutokea huku mzozo ukiendelea na kuwa na athari mbaya katika ukanda na kwingineko kwa mujibu wa Mfumo wa Ufuatiliaji wa Wanaohamishwa wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji - IOM (DTM). ... Habari za UN 1 d
Duniani Leo Public Domain  — Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari ... Sauti ya Amerika 1 d
Joe Biden ampokea Benjamin Netanyahu ili kujaribu kuendeleza mazungumzo kuhusu Gaza Attribution+  —  Baada ya kupokelewa kwa shangwe katika Bunge la Marekani, Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahu anakutana Alhamisi mjini Washington na Rais Joe Biden na kisha Makamu wake Kamala Harris, ambao watamkaribisha kwa sherehe kubwa. ... Radio France Internationale 1 d
Viongozi wa Afrika zaidi ya kumi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki Attribution+  —  Sherehe ya ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024 inaanza Julai 26 kutoka 11:30 jioni. Hfla ambay wakuu 110 wa nchi na serikali wanatarajiwa. Miongoni mwao, wakuu wa nchi kadhaa za Afrika.  ... Radio France Internationale 1 d
Mzozo Mashariki mwa DRC: Rais Tshisekedi amkosoa mwenzake wa Kenya kuhusu mchakato wa Nairobi Attribution+  —  William Ruto "alisimamia vibaya mazungumzo". Ukosoaji huu unaomlenga rais wa Kenya unatoka kwa mwenzake kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi. Rais Tshisekedi alizungumza mnamo Julai 24, 2024 kama sehemu ya mjadala na hakumunya maneno yake dhidi ya mkuu wa sasa wa nchi ya Kenya. Maoni kuhusu mchakato wa Nairobi yananuia kuunda mfumo wa majadiliano kwa makundi yote yenye silaha mashariki mwa DRC. Kauli zinazoonyesha mvutano unaokua kati ya nchi hizo mbili.  ... Radio France Internationale 1 d
Putin na Assad wakutana Kremlin kuzungumzia hali ya usalama Mashariki mwa Kati Public Domain  — Rais wa Russia Vladimir Putin Jumatano amekutana na mwenzake wa Syria Bashar al Assad, huko Kremlin, kulingana na video iliyotolewa na Kremlin  Alhamisi. ... Sauti ya Amerika 1 d
Ufadhili wa haraka unahitajika huku takriban watoto 300,000 wakikabiliwa na utapiamlo mkali kusini m... Attribution+  — Ukame mkali ambao umeathiri maeneo makubwa ya Kusini mwa Afrika na unatishia maisha ya mamia ya maelfu ya watoto katika nchi sita zilizoathiriwa zaidi. Kupitia  taarifa iliyotolewa leo jijini Nairobi, Kenya na Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika Etleva Kadilli, amesema kuwa zaidi ya watoto 270,000 wanatarajiwa kuugua utapiamlo unaotishia maisha (SAM) mwaka 2024. ... Habari za UN 1 d
Gaza: Hofu ya njaa inaendelea huku operesheni za Israel zikizidi kuwadhuru wakulima Attribution+  — Wakati Rais wa Marekani Joe Biden akijiandaa kukutana na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu hii leo nchini Marekani ambapo wanatarajia kujadili maendeleo ya kusitisha mapigano huko Ukanda wa Gaza na kuachiliwa kwa mateka wote ambao bado wanashikiliwa katika eneo hilo, hali ya njaa na utapiamlo imeendelea kuwakumba Wanagaza, huku mashirika ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa yakionya kwamba hakuna kilimo cha eneo kubwa wala bustani kinachofanyika sabab ya ukosefu wa usalama. ... Habari za UN 1 d
Mkutano wa siku tatu wa ASEAN wanza Alhamisi nchini Laos Public Domain  — Mawaziri wa mambo ya nje kutoka mataifa ya Asia Kusini Mashariki, pamoja na wanadiplomasia wa juu kutoka washirika muhimu ikiwemo Marekani na China wanakutana kwenye mji mkuu wa Laos, Alhamisi, kwenye kikao cha ASEAN. ... Sauti ya Amerika 1 d